Ijumaa, 4 Julai 2014

BARAZA KUU LA TATU KATIKA UTUMISHI UMMA LAZINDULIWA

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh. Dkt.  Pindi Chana aki zindua wa baraza kuu la tatu katika Utumishi wa Umma- Dodoma

Sehemu ya wajumbe wa baraza wakimsikiliza mgeni rasmi
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akiongea na wajumbe wa Baraza Kuu la tatu katika Utumishi.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Sera-Utumishi ambaye pia ni Katibu wa Baraza Kuu la  katiak Utumishi
 Bw. Mathias Kabunduguru akitoa maelekezo kuhusu mkutano ulifanyika leo kuzindua baraza hilo.


Hakuna maoni: