BABU KILI
Mawasiliano kwa barua pepe; babukili2@gmail.com
Jumatatu, 2 Septemba 2013
BENZ LINAPOISHA UBORA WAKE...
Gari aina ya Benz, moja kati ya magari yanayouzwa bei mbaya...lazma ujikwangue haswa ili uweze kulimiliki...hapa ni Kariakoo-maarufu Gerezani jijini Dar na garii lenyewe linatumika kama jalala, hakuna thamani tena
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni